Jumatatu, 29 Septemba 2014

FARNE


MAHITAJI:

Unga wa mchele

Maziwa yaliyochemshwa

Iliki na sukari

Njia:

Teleka maziwa na yakichemka tia sukari na iliki wacha yachemke tena
kidogo. Tia unga uliovurugwa kwa maji na wacha uchemke kidogo. Ukiwiva
epua na mimina ndani ya bakuli. Wacha ipoe na kata vipande. Tayari kwa
kula.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni