Jumatatu, 29 Septemba 2014

VIKONI

MAHITAJI:

Unga wa ngano

Pilipili manga

Chumvi

Siagi

Nyama ya kusaga iliyochemshwa na kutiwa viungo.

NJIA :

Changanya unga na samli, chumvi na pilpili manga mpaka vichanganyika na
kua kitu kimoja kata madonge na sukuma kwenye kibao.Kata kwa umbo la
duara na weka nyama yako katikaati. Pasua kidogo kwa kisu pinda duara na
ikae kama koni na nyama itokeze juu. Choma kwa oven au kwa makaa na
vikikaribia wekundu epua.

Maoni 2 :