Jumatatu, 29 Septemba 2014

VICTORIA SANDWICH

MAHITAJI:

Unga wa ngano 6oz

Mayai 4

Jam vijiko vya mezani 2

Siagi 4oz

Chumvi mziwa kidogo.

Njia:

Saga mchanganyiko wa sukari na siagi hadi uwe laini na mwepesi kidogo,
pasua mayai na pigapiga na ongeza kwenye mchangayiko kidogo kidogo.
Chekecha unga, chumvi na changanya kwenye mchangayiko kidogo kidogo.
Ongeza maziwa hadi mchangayiko uwe mweupe kidogo (unaomiminika) Paka
mafuta legeni 2 na weka mchanganyiko wa keki kwenye legeni zote. Oka
kwa dakika 20 kwenye oven.

Keki ikiiva epua na acha ipoe. Paka jam juu ya keki moja sehemu ya chini na
shikamanisha na keki ya pili. Nyunyiza sukari laini juu au pamba
upendavyo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni