Jumatatu, 29 Septemba 2014

SAMAKI WA KUKAANGA

MAHITAJI:

Minofu 2 ya samaki mbichi

Yai 1 piga

Chumvi kiasi

Mafuta

Maji tbl sp 2

Chenga za mkate tb. Sp 2

Njia :

1. Osha minofu ya samaki ikaushe maji na ipake chumvi na pilipili.

2. Weka vipande vya samaki kwenye yai na vibinginishe kwenye
chenga za mkate.

3. Kaanga minofu ya samaki hadi iive na ibadilike rangi ya kahawia.epua
andaa

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni