Jumatatu, 29 Septemba 2014

VILEJA VYA CHUMVI

MAHITAJI:

Siagi *

Unga wa ngano 1kg

Mayai 2

Jam

Njia:

Changanya unga na siagi mpaka uchanganyike sawa sawa, kama mgumu tia
maji baridi kidogo. Kata nakshi uipendayo huku ukipaka yai na jam juu yake.
Choma na wacha vipoe.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni